iqna

IQNA

Inakadiriwa kuwa Waislamu wasiopungua milioni nne wameuawa katika miongo ya hivi karibuni Mashariki ya Kati katika vita vilivyoanzisha na madola ya maghairbi hasa Marekani na Marekani na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO.
Habari ID: 3350564    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/23